Yeremia 23:28 Biblia Habari Njema (BHN)

Nabii aliyeota ndoto, na aitangaze ndoto yake, lakini yeye aliye na neno langu, na alitangaze kwa uaminifu. Mimi Mwenyezi-Mungu nasema, makapi si sawa na ngano!

Yeremia 23

Yeremia 23:19-30