Yeremia 16:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia na kusema:

2. “Wewe hutaoa wala hutapata watoto mahali hapa.

3. Maana mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi juu ya watoto wa kiume na wa kike watakaozaliwa mahali hapa, na juu ya wazazi wao:

Yeremia 16