Yeremia 15:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Nitawafanya kuwa kitu cha kutisha kwa falme zote za dunia, kwa sababu ya mambo ambayo Manase mwana wa Hezekia, aliyafanya huko Yerusalemu, alipokuwa mfalme wa Yuda.

Yeremia 15

Yeremia 15:1-11