Yeremia 14:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha mimi nikasema, “Tazama, ee Bwana Mwenyezi-Mungu! Manabii wanawaambia watu hawa kwamba hapatakuwa na vita wala njaa, kwa sababu umeahidi kuwa patakuwa na amani tu katika nchi yetu.”

Yeremia 14

Yeremia 14:12-22