16. Maana popote palipo na wivu na ubinafsi, hapo pana fujo na kila aina ya uovu.
17. Lakini hekima itokayo juu mbinguni, kwanza ni safi; inapenda amani, upole na huwajali watu; imejaa huruma na huzaa matunda ya matendo mema; haina ubaguzi wala unafiki.
18. Uadilifu ni mazao ya mbegu ambazo wapenda amani hupanda katika amani.