31. hali watu wa Israeli ambao walitafuta sheria ya kuwafanya kuwa waadilifu, hawakuipata.
32. Kwa nini? Kwa sababu walitegemea matendo yao badala ya kutegemea imani. Walijikwaa juu ya jiwe la kujikwaa
33. kama yasemavyo Maandiko Matakatifu:“Tazama, nitaweka huko Siyoni jiwe likwazalo,mwamba utakaowafanya watu waanguke.Lakini atakayemwamini hataaibishwa!”