Waroma 8:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Mungu alifanya hivyo kusudi matakwa ya haki ya sheria yatekelezwe kikamilifu ndani yetu sisi ambao tunaishi, si kwa nguvu za kibinadamu, bali kwa nguvu ya Roho.

Waroma 8

Waroma 8:1-14