Waroma 8:30 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, wale ambao Mungu aliwateua ndio hao aliowaita; na hao aliowaita ndio hao aliowafanya kuwa waadilifu na hao aliowafanya waadilifu ndio hao aliowashirikisha pia utukufu wake.

Waroma 8

Waroma 8:23-39