Waroma 8:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa maana, kama mkiishi kufuatana na matakwa ya maumbile ya kibinadamu, hakika mtakufa. Lakini, kama kwa njia ya Roho mnayaua matendo yenu maovu, basi, mtaishi.

Waroma 8

Waroma 8:11-23