Waroma 4:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Tuseme nini basi, juu ya Abrahamu baba yetu?

2. Kama Abrahamu alikuwa amefanywa mwadilifu kutokana na bidii yake, basi, anacho kitu cha kujivunia mbele ya Mungu.

Waroma 4