Waroma 16:7-9 Biblia Habari Njema (BHN)

7. Salamu zangu kwa Androniko na Yunia, wananchi wenzangu waliofungwa gerezani pamoja nami; wao wanajulikana sana kati ya mitume; tena walikuwa Wakristo kabla yangu mimi.

8. Salamu zangu kwa Ampliato, rafiki yangu katika kuungana na Bwana.

9. Salamu zangu zimfikie Urbano, mfanyakazi mwenzangu katika utumishi wa Kristo; salamu zangu pia kwa rafiki yangu Staku.

Waroma 16