Waroma 16:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini, sasa ukweli huo umefunuliwa kwa njia ya maandiko ya manabii; na kwa amri ya Mungu wa milele umedhihirishwa kwa mataifa yote ili wote waweze kuamini na kutii.

Waroma 16

Waroma 16:18-27