Waroma 16:18 Biblia Habari Njema (BHN)

maana watu wa namna hiyo hawamtumikii Kristo Bwana wetu, bali wanayatumikia matumbo yao wenyewe. Kwa maneno yao matamu na hotuba za kubembeleza hupotosha mioyo ya watu wanyofu.

Waroma 16

Waroma 16:15-27