Waroma 14:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Wewe ni nani hata uthubutu kumhukumu mtumishi wa mwingine? Akisimama au akianguka ni shauri la Bwana wake; naam, atasimama imara, maana Bwana anaweza kumsimamisha.

Waroma 14

Waroma 14:1-8