Waroma 14:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini mtu anayeona shaka juu ya chakula anachokula, anahukumiwa kama akila, kwa sababu msimamo wa kitendo chake haumo katika imani. Na, chochote kisicho na msingi wake katika imani ni dhambi.

Waroma 14

Waroma 14:21-23