Waroma 12:20-21 Biblia Habari Njema (BHN)

20. Zaidi ya hayo, Maandiko yasema: “Adui yako akiwa na njaa, mpe chakula; akiwa na kiu, mpe kinywaji. Maana kwa kufanya hivyo utamfanya apate aibu kali kama makaa ya moto juu ya kichwa chake.”

21. Usikubali kushindwa na ubaya, bali ushinde ubaya kwa wema.

Waroma 12