Waroma 11:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, msiwadharau wale waliokatwa kama matawi! Na, hata kama kuna la kujivunia, kumbukeni kwamba si nyinyi mnaoitegemeza mizizi, bali mizizi ndiyo inayowategemeza nyinyi.

Waroma 11

Waroma 11:12-19