Waroma 10:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Na watu watahubirije kama hawakutumwa? Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Ni jambo la kupendeza mno kuja kwa wale wanaohubiri Habari Njema!”

Waroma 10

Waroma 10:6-19