Walawi 27:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini kama akiliweka wakfu baada ya mwaka huo, basi, kuhani ataamua thamani yake kulingana na miaka iliyobaki kufikia mwaka wa ukumbusho wa miaka hamsini na thamani yake ipunguzwe.

Walawi 27

Walawi 27:17-27