Walawi 23:28 Biblia Habari Njema (BHN)

Msifanye kazi zenu zozote za kawaida siku hiyo. Siku hiyo ni siku ya upatanisho, siku ya kuwafanyieni upatanisho mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu.

Walawi 23

Walawi 23:25-30