Walawi 20:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Kama mwanamume akilala na mwanamke aliye mwezini, wote wawili ni lazima watengwe na watu wao; huyo mwanamume amelala na mwanamke aliye na hedhi, na huyo mwanamke amelala na mwanamume akiwa na hedhi.

Walawi 20

Walawi 20:10-27