Walawi 20:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Kama mwanamume akioa mke na pia kumwoa mama yake, huo ni uovu; wote watatu ni lazima wateketezwe kwa moto kwani wamefanya uovu. Mtafanya hivyo ili uovu usiwe miongoni mwenu.

Walawi 20

Walawi 20:12-23