Walawi 13:57 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, ikiwa hiyo alama inaonekana tena baadaye katika vazi lililofumwa au lililosokotwa au katika kitu chochote cha ngozi, basi upele umeenea. Hapo vazi hilo utalichoma moto.

Walawi 13

Walawi 13:47-59