Walawi 13:45 Biblia Habari Njema (BHN)

“Mwenye ukoma yeyote atavaa nguo zilizochanika, nywele zake hatazichana, na mdomo wake wa juu ataufunika na atapaza sauti akisema, ‘Mimi ni najisi, mimi ni najisi.’

Walawi 13

Walawi 13:35-46