Walawi 13:33 Biblia Habari Njema (BHN)

mtu huyo atanyoa nywele au ndevu zake. Lakini mahali pale penye vipele hatapanyoa. Kisha kuhani atamtenga mtu huyo kwa muda mwingine wa siku saba.

Walawi 13

Walawi 13:31-38