Wakolosai 2:19 Biblia Habari Njema (BHN)

na amejitenga na Kristo aliye kichwa cha huo mwili. Chini ya uongozi wa Kristo, mwili wote unalishwa na kuunganishwa pamoja kwa viungo na mishipa yake, nao hukua kama atakavyo Mungu.

Wakolosai 2

Wakolosai 2:9-23