Wagalatia 4:30-31 Biblia Habari Njema (BHN)

30. Lakini Maandiko Matakatifu yasemaje? Yasema: “Mfukuze mama mtumwa pamoja na mwanawe; maana mtoto wa mtumwa hatarithi pamoja na mtoto wa mama huru.”

31. Hivyo basi, ndugu, sisi si watoto wa mtumwa bali wa mama huru.

Wagalatia 4