Waebrania 12:28-29 Biblia Habari Njema (BHN)

28. Sisi basi, na tushukuru, kwani tunapokea ufalme usiotikisika. Tuwe na shukrani na kumwabudu Mungu kwa namna itakayompendeza, kwa ibada na hofu;

29. maana Mungu wetu kweli ni moto mkali unaoteketeza.

Waebrania 12