Waamuzi 8:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha akamwambia Yetheri, mzaliwa wake wa kwanza, “Simama, uwaue.” Lakini Yetheri aliogopa kuchukua upanga wake maana alikuwa bado kijana.

Waamuzi 8

Waamuzi 8:13-23