Waamuzi 6:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Halafu, unijengee mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wako, madhabahu nzuri juu ya mwinuko huu. Kisha unitolee sadaka ya kuteketezwa ya yule fahali wa pili ukitumia kuni za ile sanamu ya Ashera uliyoivunja.”

Waamuzi 6

Waamuzi 6:20-31