Waamuzi 3:31 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya Ehudi mwana wa Anati, Shamgari alishika nafasi yake. Yeye aliwaua Wafilisti 600 kwa fimbo ya kuchungia ng'ombe. Naye pia aliwakomboa Waisraeli.

Waamuzi 3

Waamuzi 3:22-31