Waamuzi 20:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Waisraeli wakaenda Betheli kutaka shauri kwa Mungu, wapate kujua kabila ambalo litakwenda kwanza kupigana na watu wa kabila la Benyamini. Mwenyezi-Mungu alitaja kabila la Yuda liende kwanza.

Waamuzi 20

Waamuzi 20:9-19