Waamuzi 19:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku ya tano huyo mtu aliamka asubuhi, akitaka kuondoka. Lakini baba yake yule mwanamke akamwambia, “Kwanza upate nguvu kwa kula, ungoje alasiri, halafu uondoke.” Basi wote wawili wakala pamoja.

Waamuzi 19

Waamuzi 19:4-18