Waamuzi 19:27 Biblia Habari Njema (BHN)

Bwana wa mwanamke huyo alipoamka asubuhi, alifungua milango ya nyumba, akatoka nje ili aendelee na safari. Ghafla akamkuta suria wake amelala chini mlangoni, mikono yake ikishika kizingiti cha mlango.

Waamuzi 19

Waamuzi 19:24-30