Waamuzi 19:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini wanaume hao hawakumsikiliza. Kwa hiyo Mlawi yule akamchukua suria wake na kumtoa kwao huko nje. Nao wakamchukua na kumnajisi usiku kucha mpaka asubuhi. Karibu na mapambazuko, wakamwacha aende zake.

Waamuzi 19

Waamuzi 19:16-29