Waamuzi 18:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Mika akasema, “Nyinyi mmechukua miungu yangu niliyojitengenezea, mkamchukua na kuhani wangu, mkaniacha bila chochote. Mnawezaje basi kuniuliza nina shida gani?”

Waamuzi 18

Waamuzi 18:20-31