Waamuzi 14:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Samsoni akawaambia, “Nitatega kitendawili. Kama mkiweza kutegua kitendawili hicho kwa muda wa siku saba za sherehe za harusi, basi, nitawapa mavazi thelathini ya kitani na mavazi thelathini ya sikukuu.

Waamuzi 14

Waamuzi 14:10-20