Waamuzi 11:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Sihoni hakuwakubali Waisraeli wapite katika nchi yake. Basi, Sihoni akakusanya watu wake wote, akapiga kambi huko Yahasa, akawashambulia Waisraeli.

Waamuzi 11

Waamuzi 11:15-30