Ufunuo 9:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Tena wanaye mfalme anayewatawala, naye ndiye malaika wa kuzimu; jina lake kwa Kiebrania ni Abadoni, na kwa Kigiriki ni Apolioni, yaani Mwangamizi.

Ufunuo 9

Ufunuo 9:4-12