Ufunuo 3:14 Biblia Habari Njema (BHN)

“Kwa malaika wa kanisa la Laodikea andika hivi:“Mimi niitwaye Amina, shahidi mwaminifu na wa kweli, ambaye ni chanzo cha viumbe vyote alivyoumba Mungu nasema hivi.

Ufunuo 3

Ufunuo 3:9-22