Ufunuo 22:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Mimi Yohane nawapa onyo wote wanaosikia maneno ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki: Mtu yeyote akiongeza chochote katika mambo haya, Mungu atamwongezea mabaa yaliyoandikwa katika kitabu hiki.

Ufunuo 22

Ufunuo 22:14-21