Ufunuo 21:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Ulikuwa na ukuta mrefu na mkubwa, wenye milango kumi na miwili, na kila mmoja ulilindwa na malaika. Juu ya kila mlango paliandikwa mojawapo ya majina ya makabila kumi na mawili ya Israeli.

Ufunuo 21

Ufunuo 21:3-19