Ufunuo 20:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, atatoka nje, ataanza kuyapotosha mataifa yote yaliyotawanyika kila mahali duniani, yaani Gogu na Magogu. Shetani atawakusanya pamoja kwa ajili ya vita; nao watakuwa wengi kama mchanga wa pwani.

Ufunuo 20

Ufunuo 20:1-12