Ufunuo 2:24 Biblia Habari Njema (BHN)

“Lakini nyinyi wengine mlioko huko Thuatira ambao hamfuati mafundisho yake Yezebeli na ambao hamkujifunza kile wanachokiita Siri ya Shetani, nawaambieni kwamba sitawapeni mzigo mwingine.

Ufunuo 2

Ufunuo 2:14-29