Ufunuo 2:18 Biblia Habari Njema (BHN)

“Kwa malaika wa kanisa la Thuatira andika hivi:“Huu ndio ujumbe wa Mwana wa Mungu, ambaye macho yake yametameta kama moto, na miguu yake inang'aa kama shaba iliyosuguliwa.

Ufunuo 2

Ufunuo 2:10-23