Ufunuo 19:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha nikasikia kitu kama sauti ya umati mkubwa wa watu na sauti ya maji mengi na ya ngurumo kubwa, ikisema, “Asifiwe Mungu! Maana Bwana Mungu wetu Mwenye Nguvu ametawala!

Ufunuo 19

Ufunuo 19:1-16