Ufunuo 18:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Mpeni mateso na uchungu kadiri ya kujigamba kwake,kulingana na kuishi kwake kwa anasa.Maana anajisemea moyoni: ‘Ninaketi hapa; mimi ni malkia.Mimi si mjane, wala sitapatwa na uchungu!’

Ufunuo 18

Ufunuo 18:3-13