Ufunuo 16:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Mji ule mkuu ukapasuliwa sehemu tatu, nayo miji ya mataifa ikateketea. Babuloni, mji mkuu, haukusahauliwa na Mungu. Aliunywesha kikombe cha divai ya ghadhabu ya hasira yake.

Ufunuo 16

Ufunuo 16:9-21