Ufunuo 15:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, wale malaika saba wenye mabaa saba wakatoka humo hekaluni, wakiwa wamevaa nguo za kitani safi zenye kung'aa na kanda za dhahabu vifuani mwao.

Ufunuo 15

Ufunuo 15:1-8