Ufunuo 14:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Naye akasema kwa sauti kubwa, “Mcheni Mungu na kumtukuza! Maana saa imefika ya kutoa hukumu yake. Mwabuduni yeye aliyeumba mbingu na dunia, bahari na chemchemi za maji.”

Ufunuo 14

Ufunuo 14:6-12